Thursday, January 15, 2015

Nyanya zapanda bei sokoni

Mvua nyingi zinazoendelea katika mikoa maarufu ya uzalishaji nyanya imesababisha bei ya nyanya kupanda bei katika Soko Kuu la Kariakoo kwa  nyanya grade ya kwanza.
Nyanya nyingi huingizwa katika Soko Kuu la Kariakoo kutoka mikoa ya Iringa,Njombe,Mbeya,Morogoro na Arusha.

No comments:

Post a Comment