Tuesday, October 29, 2013

 Mchuuzi wa mizigo katika Soko Kuu la Kariakoo akitoka katika geti kuu la kutokea magari mara baada ya kushusha mizigo maarufu kama Shimoni, huku akiwa amebeba tenga la nyanya.

  Mchuuzi wa mizigo katika Soko Kuu la Kariakoo akitoka katika geti kuu la kutokea magari mara baada ya kushusha mizigo maarufu kama Shimoni, huku akiwa amebeba mkungu wa ndizi.

 Pichani hapo juu ni Afisa biashara wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Mwinga Mazwite Luhoyo  Mtumishi  akiwa ofisini.

JIPATIE NYAMA BORA SOKONI KARIAKOO

 
Pichani ni wafanyabiashara wa nyama katika Soko kuu la kariakoo wakiwa katika eneo lao la kazi kama inavyoonekana pichani. Ambapo nyama ya kawaida inauzwa Sh. 5000/= kwa kilo.


Jenga afya kwa kula Maini  bei yake Sh. 7000/= kwa kilo tu kwa takribani wiki hii!Sokoni Kariakoo unakamilisha mlo kamili kwa ajili ya familia yako kwa gharama ndogo tuuu! Karibu  sanaaa!






 Bwana Fadhili Rashidi akiwa katika sehemu yake ya biashara ndani ya Sokoo Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam. kwa mahitaji ya nyama unaweza kumpata kwa mawasilianop yafuatayo. 0754 418469




Nyama aina ya beef stake inayouzwa Sh. 7000/= kwa kilo;bei hii kila mmoja wetu anaweza kumudu kujipatia kitoweo!