Thursday, December 26, 2013

WATU WAFURIKA SOKONI KARIAKOO KUFUATA BIDHAA

Magari yakiwa yameegeshwa katika eneo la soko Kuu la Kariakoo Jijini Dar es Salaam. 


 Pichani hapo juu ni baadhi ya wateja waliofika sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam wakipata huduma kutoka kwa wafanyabiashara wa sokoni hapa, mahala hapa palikuwa panauzwa nguo kwa bei ya chini sana.

Maegesho ya magari katika eneo la soko Kuu la Kariakoo likiwa limefurika magari ya watu mbalimbali waliokuja Kariakoo kujipatia huduma kama inavyoonekana pichani hapo juu.