Thursday, February 13, 2014

MAZUNGUMZO; MATUKIO KATIKA PICHA



Meneja Mkuu Ndugu Frolens M. Seiya akiwa ofisini kwake na wageni kutoka Asasi ya 2Seeds Network kutoka Marekani hawapo pichani. 

Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo (kulia) na James Meeks Mkuu wa asasi ya 2Seeds Network nchini Marekani (wa pili)

Wageni wakipata matunda huku mazungumzo yakiendelea ofisini kwa Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Jijini Dar es Salaam

Wageni na wenyeji wakimsilikiliza kwa Makini Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Ofisini kwake 

 James Meeks pamoja na Meneja Mkuu  la Masoko ya Kariakoo (walio simama katikati) wakiwa nje ya ofisi 

James Meeks Mwenyekiti wa 2Seeds Network toka nchini Marekani  akiagana na Meneja Mkuu  wa shirika  Frolens M. Seiya  baada ya Mkutano  uliokuwa unahusu taarifa ya maendeleo ya mradi wa Masoko(Masoko Project) unaohusu Mfumo wa ukusanyaji na utoaji taarifa za mazao yanayoingia katika soko kuu la Kariakoo la Jijini  DSM-Tanzania

James Meeks akiagana na Meneja Mkuu  wa Shirika  Ndugu Frolens M. Seiya

Mtakwimu mkuu wa Shirika la Masoko Henry Rwejuna Mutungi akimwonesha James Meeks mfumo mpya wa ukusanyaji bei za mazao kwa kutumia simu ya kiganjani. Huku taarifa hizo zikirushwa moja kwa moja kwenda kwenye
 tovuti ya Shirika la Masoko.