Wednesday, June 18, 2014

Safari ya Wajumbe wa 2SEEDS Network kutoka DSM wakiwa kijijini Tabora

 Familia ya Wanatabora imependezaa saaana! Katika kijiji hiki kuna mradi wa kutengeneza crips za viazi na mihogo.2SEEDS Network husimamia kwa karibu sana maendeleo yake.
Hapa ni kijijini tabora (ndogo) moja ya vijiji vilivyopo wilayani Korogwe;hapa katika picha kutoka kulia ni Bwana Anderson Shaka Mkuu wa Kitengo cha ICT katika Shirika la Masoko ya Kariakoo,Christian Mlay kutoka Habari Mazao Founders,Munguatosha Mfanyabiashara toka Soko Kuu la Kariakoo  na Henry Rwejuna Mtakwimu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo.Wapo na wenyeji wao dada Haliyahewa.