Tuesday, February 4, 2014

MATUKIO KATIKA PICHA LEO ASUBUHI SOKONI KARIAKOO


Wateja wakiwa sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam wakijipatia baadhi ya bidhaa bora kama inavyoonekana katika picha hapo juu. Hapa unaweza kupata karoti, hoho, bamia na bidhaa nyinginezo nyingi kama inavyoonekana pichani.


Hili ni eneo la soko la Kariakoo, kwa jina maarufu kama soko la wazi ambalo unaweza kupata mbogomboga, viazi , matunda na bidhaa nyinginezo kama invyoonekana.