Thursday, March 20, 2014

Habari toka ndani ya Kariakoo Market Corporation leo

 Katika picha hapo juu ni Wanafunzi wanaosoma kozi ya Uhasibu katika chuo cha 
The Kilimanjaro Institute of Business & Technology  kilichopo Jijini DSM. Wanafunzi hawa wapo katika mafunzo kwa vitendo (PT) katika Shirika la Masoko ya Kariakoo.Hapa wanaelekezwa jambo na Mtumishi mmojawapo wa Shirika mwenye Tsheti nyeupe MrsMwinga. Wanafunzi kutoka kulia ni  Pendo Francis,Libelius Vedastus,Elisamehe Temu na Lipina David.
 Mwanafunzi huyu Elisamehe Temu akiwa anaendelea na shughuli zake mapema leo asubuhi katika Ofisi za Shirika la Masoko ya Kariakoo;hapa alikutwa akifanya moja ya kazi ambayo alipangiwa na msimamizi wake.