Monday, February 2, 2015

Mazao Sokoni Kariakoo

 Coneflower ni mojawapo ya mazao ya mbogamboga yanayopatikana katika Soko Kuu la Kariakoo. Kwa bei za kawaida kabisa, unakaribishwa kujipatia mahitaji mabalimbali ya kila siku katika Soko hili Kongwe katika Jiji la Dar es Salamu. Aina hii ya mbogamboga zinazalishwa katika mikoa ya Tanga, Arusha na Morogoro.
Magimbi ni chakula kinachopendwa na watu wengi. Katika picha hapo juu ni magimbi fresh kabisa kutoka shambani. Bei ya magimbi huanzia kati ya shililngi 500 hadi 2000 kulingana na ukubwa wake.
Karibu sana Sokoni.