Tuesday, January 7, 2014

KMC STAFF


Pichani ni baadhi ya watumishi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Jijini Dar es Salaam wakiwa kwenye ofisi ya Afisa biashara mapema leo asubuhi.

SOKO LA WAZI KARIAKOO


Pichani hapo juu ni eneo la wazi la soko Kuu la Kariakoo ambalo ni maarufu kama soko la wazi, eneo hili unaweza kupata matunda na mboga mbalimbali kama vile nyanya, maembe, karoti, hoho, pilipili na mengine mengi.