Friday, January 24, 2014

SAMAKI KING FISH


Mfanyabiashara wa samaki katika maduka ya samaki ndani ya soko Kuu la Kariakoo akionesha samki aina ya King-fish ambaye anamuuza kwa shilingi 35,000/= lakini pia unaweza kupata vipande au ukapimiwa kwa kilo.