Tuesday, September 10, 2013

NGUVU YAKO NI MTAJI!

Jamaa mmoja ambaye jina lake halikufahamika mapema, akiwa amebeba gunia la vitungu lenye uzito zaidi ya 100Kg za vitunguu linalouzwa kwa Sh. 90,000/= akitoka nje ya lango kuu la kutokea sokoni maarufa kama "Shimoni". ndani ya soko kuu la Kariakoo jijini Dar es salaam