Sunday, December 14, 2014

Bidhaa za vyakula sokoni Kariakoo

 Karoti nzuri daraja la kwanza kabisa kutoka Mikoa mbalimbali ya Tanzania.Karibu ujipatie bidhaa hii bora kwa matumizi mbalimbali kama vile kutengeneza juice na nakadhalika.
Katika picha hapo juu ni Viazi mviringo vikiwa bado fresh kabisa kutoka mkoani. Mikoa mashuhuri kwa uzalishaji vyazi hapa nchini ni pamoja na Iringa,Njombe na Mbeya