Monday, September 23, 2013

Mchambuzi TEHAMA (ICT Analyst)


Katika picha ni Frank Mangowi  huyu ni  Mfanyakazi wa  Shirika la Masoko ya Kariakoo (KMC); kutoka katika Kitengo cha ICT akiwa ofisini kwake akiendelea na shughuli zake za kila siku.
Anayo furaha kukukaribisha kutembelea Blog ya kariakoo ili uweze kujipatia habari mbalimbali kuhusu bidhaa kadhaa wa kadhaa