Thursday, January 2, 2014

BEI YA SAMAKI YA PANDA KUTOKA SH.15,000/= HADI 16,000/= KWA KILO

Pichani hapo juu ni mteja wa samaki aliyefika katika maduka ya samaki wabichi ndani ya Soko Kuu la Kariakoo Jijini Dar es Salaam.
Samaki wanaoonekana pichani hapo juu wanauzwa Shilingi 16,000/= kwa kilo moja na shilingi 4,000/= kwa kipande.