Wednesday, February 4, 2015

Zabibu Sokoni Kariakoo


Katika picha hapo juu ni matunda aina ya zabibu ambazo huingizwa katika Soko Kuu la Kariakoo zikitokea mkoani Dodoma.Leo zilikuwa zikiuzwa kwa bei ya Sh.2500/- kwa kilo na kwa bei ya jumla ilikuwa ni Sh.30,000/-kwa  katoni au Box