Friday, September 12, 2014

Matunda soko kuu kariakoo

 Picha ya zabibu kama inavyoonekana hapo juu katika Soko la Kariakoo leo ilikuwa ikiuza kwa bei ya shillingi elfu mbili mia tano kwa kilogram  na shillingi elfu thelathini kwa jumla


Katika picha hapo juu ni matunda aina ya ambazo kwa kiasi kikubwa huingizwa katika soko kuu la Kariakoo kila siku kutoka  mikoani na hususani katika mkoa Morogoro zinauzwa kwa bei  ya rejareja na jumla