Thursday, February 26, 2015

Sokoni Kariakoooo leoo!

 Huyu kijana alijitaja jina lake kuwa ni Abdul Abubakari baada yakupata kibano pale alipokamatwa akiwa katika harakati za kuiba vioo vya kwenye magari ambayo yameegeshwa katika eneo la Soko Kuu la Kariakoo.Kijana huyu alinaswa na vijana ambao walikuwa wanaosha magari mapema leo asubuhi
 Katika picha hapo juu ni baadhi ya vifaa vya magari ambavyo kijana huyu alipatikana navyo kijana Abdul Abubakari.
Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi  katika Shirika la Masoko Kariakoo, Bwana Mathias Mbafu akiwa Ofisini kwake akimuelekeza jambo  Msaidizi wake Bi.Henrika Kawili.