Tuesday, February 3, 2015

Kutoka Soko Kuu la Kariakoo

 Muhandisi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Bwana Flavian Mlelwa akiwa katika hali ya kutafakari jambo wakati Mtumishi mwenzake Bwana Denis Mfuruki pichani hayupo alipomtembelea Ofisini kwake.
Bwana Flavian Mlellwa ambaye ni Muhandisi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo akiwa Ofisini kwake mapema leo asubuhi. Mtumishi huyu ni nadra sana kuonekana ofisini akiwa amekaa ametulia hivi kwani muda mwingi huwepo katika maeneo mbalimbali jengo la Soko kukagua miundombinu na kusimamia shughuli mbalmbali za kiufundi hasa masuala yote yahusuyo umeme,maji na ukarabati wa sehemu mbalimbali za Jengo la soko.