Friday, September 27, 2013

MTAKWIMU WA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO AKIWA NA MRATIBU WA MRADI WA MASOKO WAKITEMBELEA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO !


 Monique Galvao akipokea zawaidi ya muwa kutoka kwa mfanyabiashara(wa kwanza kulia)  wakati Monique alipotembelea sehemu ya chini ya Soko la Kariakoo maarufu kama Shimoni mapema leo asubuhi. 

 Mtakwimu wa Shirika la Masoko la Kariakoo Bw. Henry Rwejuna akimuonesha ramani ya Soko la Kariakoo sehemu ya chini(Shimoni) Monique ambaye ni Mratibu wa Mradi wa Masoko (Masoko Project) kutoka Shirika la  2Seeds Network.

Henry Rwejuna akitoa maelekezo  ya namna anavyo fanya shughuli zake sokoni hapo.



Sophie Hollingsworth Mratibu wa Mradi wa Masoko akiwa ofisini kwake Sokoni Kariakoo.

 Sophie Hollingsworth (kushoto) akiwa na Monique Galvao wakiwa wamefurahi wakati wa mapumziko.

Watumishi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo.




Wafanyakazi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo (KMC) wakifurahia jambo kama wanavyoonekana pichani.Charles Simba (kushoto) na  Saumu Kiula


Pichani ni watumishi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Enock Ndumule (kushoto) na Ester Chogero wakibadilishana mawazo.