Sunday, March 30, 2014

Mfahamu Mfanyabiashara Mkongwe Sokoni Kariakoo

Mfanya biahara mkongwe katika Soko Kuu la Kariakoo akiwa katika duka lake la bidhaa mbalimbali.Mzee Suleiman Mwaipungu anaelezea kuwa amekuwepo katika mitaa ya Kariakoo akifanya biashara ya vyakula  hata kabla ya Soko kuu la Kariakoo halijajengwa

Huyu ni Mfanyabishara maarufu na wa siku nyingi sana katika Soko Kuu la Kariakoo lililopo Jijini Dar Es Salaam. Mzee Suleiman Mwaipungu amekuwepo katika Soko hili tangu mwaka 1974 lilipoanzishwa.Fika katika Soko dogo umuunge mkono katika biashara zake kwa kununua nafaka kama vile mtama,njegere,choroko,Mchele,Karanga na nyinginezo;pia anauza mifuko kama inavyoonekana katika picha hapo juu.