Tuesday, March 25, 2014

Hizi ni Green beans ni aina mojawapo mboga nzuri ambazo zinauzwa hapa katika Soko Kuu la Kariakoo Jijini Dar Es Salaam.Huzalishwa katika mikoa ya Arusha na Tanga. Bei yake ni Tsh.3000/= kwa Kilo moja.

Mboga za Majani zinapatikana Sokoni Kariakoo pia!



 Leo ni mbogamboga tuu! ndugu Mteja mboga hizi zinatokea katika mikoa ya Tanga sehemu za Lushoto,Korogwe na kule mkoani Arusha.
Hapo juu katika picha ni mchanganyiko wa mbogamboga  kama vile Zukin hizo zenye muonekano kama matango,Cotmill,Retus na nyinginezo.Hizi zinapatikana Kariakoo sokoni katika eneo la soko wazi.