Sunday, December 22, 2013

BIDHAA SAFI NA BORA ZINAPATIKANA SOKONI KARIAKOO JIJINI DAR ES SALAAM

Wafanyabiashara wa Soko la Wazi Sokoni Kariakoo, wakiwa na wateja wao mapema leo asubuhi katka soko Kuu la Kariakoo Jijini Dar es Salaam.

Katika msimu huu wa siku kuu karibuni sokoni Kariakoo wateja wetu wote ili muweze kujipatia bidhaa bora sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam.

BIASHARA KATIKA MSIMU WA SIKU KUU ZA NOEL NA MWAKA MPYA.


Mfanyabiashara wa sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam akiandaa miti maalumu kwa ajili ya siku kuu ya Christ Mass.


Badhi ya bidhaa za Msimu wa Siku Kuu, kama zinavyoonekana pichani hapo juu katika Soko la Kariakoo Jijini Dar es Salaam- Tanzania.