Friday, March 13, 2015

Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko Bwana Florens Seiya akiwa anaongoza Mkutano baina ya Menejimenti ya Shirika na Wajumbe wa kamati kuu ya Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Kariakoo, walipokuwa wakijadili kuhusu wazo la kufanya maboresho eneo la maduka ya nyama(mabucha) ndani ya jengo kuu la Soko la Kariakoo Jijini Dar Es Salaam.