Sunday, July 27, 2014

Maandalizi ya Sikukuu ya Idd katika mitaa ya Kariakoo

Watu mbalimbali Watanzania na wale wakutoka nchi jirani wakiwa katika pilikapilika za maandalizi ya sikukuu ya Idd.Maduka mengi yakiwa na bidhaa nyingi  mbalimbali ambazo zimekuwa na bei za wastani kama vile baadhi ya Wananchi walivyotoa maoni yao  mwishoni mwa wiki iliyopita.