Thursday, March 19, 2015

Maarifa huongezwa kila siku

Katika picha hapo juu ni Meneja wa fedha Bi.Marieta Massaua na Bwana Peter Mshikilwa ambaye ni Mwanasheria, wote ni watumishi katika Shirika la Masoko Kariakoo. Hapo walikuwa wakihudhuria semina inayohusu Sheria ya manunuzi.Semina hiyo ililenga kuwajengea uwezo watumishi hawa jinsi yakutekeleza sheria hiyo muhim katika shughuli za manunuzi.

Kariakoo

 Watumishi wa Kitengo cha Manunuzi Bwana Mathias Mbafu na Henrika Kawili wakijadili jambo kuhusiana na kazi zao za kila siku.Bwana Mathias Mbafu ni Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi.
Ndizi!Ndizi! sokoni Kariakoo