Thursday, January 15, 2015

Nanasi ni Matunda bora kwa afya

Soko Kuu  la Kariakoo lililopo Jijini Dar Es Salaam hupokea kila aina ya mazao. Katika picha hapo juu ni mananasi amabayo tayari yamefikishwa katika soko hili maarufu hapa Jijini Dar es Salaam. Mananasi haya huuzwa kwa bei ya jumula na rejareja sokoni hapo.

No comments:

Post a Comment