Monday, May 5, 2014

Shirika la Masoko likiwa katika harakati za kuboresha huduma zake

Katika picha hapo juu ni ya Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Kariakoo wakiwa pamoja na Monique Galvalo Project Cordinator kutoka 2SEEDS Network, mara baada ya kuwapa semina  fupi wafanyabiashara juu ya umuhimu wa wao kutoa bei halisi za mazao ambazo zitakuwa zinaonekana moja kwa moja  kwenye tovuti ya Shirika.Aliyesimama wa kwanza kulia ni Vedastus Valentine Afisa biashara wa Shirika naye pia alishiriki katika zoezi hilo.