Friday, December 6, 2013

BORESHA BUSTANI YAKO SASA KWA KUTUMIA ZANA BORA ZA KILIMO!

Torori
Pichani hapo juu ni torori maalum kwa shughuli za mikono, kama vile kuhamisha mizigo midogo midogo kutoka sehem moja kwenda sehemu nyingine, kubebea mchanga, samadi kwa ajili ya bustani. unaweza kupata vifaa hivi Sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam kwa bei kati ya
Shilingi 50,000 hadi Shilingi 48,000/= kwa torori za rangi ya kijani.
Shilingi 650000 hadi Shilingi 60000/= kwa torori za rangi nyeusi kama zinavyoonekana hapo juu pichani.


Mipira ya Maji

Katika hatua za kuboresha bustani ama shamba kwa kilimo cha umwagiliaji, basi unaweza kutumia mipira bora na imara kama hii hapa pichani;hapa utapata mipira ya nchi 1 kwa shilingi 75,000/= kwa urefu wa mita 50.
 nusu nchi (1/2) kwa shilingi 50,000 kwa urefu wa mita 50.  Vyote hivyo vinapatikana dukani kwa Emma Macherehani waliopo Sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam.

Emma Macherehani unaweza kuwapata kwa mawasiliano yafuatayo.
+255 755363157
+255 717 830 813
Email: emmanuelikaonya@yahoo.com

WAFANYA BIASHARA KUONDOA BIDHAA ZAO KATIKA ENEO LA BARABARA SOKONI KARIAKOO

Askari wa Shirika la Masoko ya Kariakoo, wakiwapa maelekezo ya kuondoa bidhaa zao walizopanga barabarani katika eneo la Shirika la Masoko mapema leo asubuhi.