Friday, November 8, 2013

SAMAKI WABICHI WANAPATIKAN SOKONI KARIAKOO

 Pichani hapo juu ni samaki aina ya "Redsnaper" hawa ni miongoni mwa samaki adimu sana, samaki hawa sasa wanapatikana Soko Kuu la Kariakoo Jijini Dar es Salaam -Tanzania. Samaki hawa ambao mara nyingi huliwa katika mahoteli makubwa nchini sasa wanauzwa sokoni  Kariakoo, jipatie samaki hawa ujenge afya kwa Sh. 12000/= tu pesa ya Kitanzania.


Wafanyabiashara wa samaki katika soko Kuu la Kariakoo wakiwa wamekaa katika eneo lao la kazi kama wanvyoonekana picha.

 JIPATIE NDIZI SAFI SOKONI KARIAKOO.


 Wachuuzi wa mizigo katika soko Kuu la Kariakoo (Shimoni) wakishusha ndizi katika moja ya magari kutoka mikoa mbalimbali hapa nchini Tanzania. 

 Kwa ndizi safi na bora kwa afya yako, karibu Sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam.