Thursday, March 27, 2014

Matunda ya kila aina yanapatikana Kariakoo Sokoni.

 Maembe hayo katika picha hapo juu yapo tayari kwa kuuzwa kwa wateja wa jumla na rejareja pia!
Bei yake ni kati ya TSh.500 hadi 700
Katika picha hapo juu ni mifuko ambayo ina matunda aina ya Apples yakiwa yameshushwa toka katika gari mojawapo leo mapema alfajiri. Matunda haya kwa sasa yanatoka katika Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga. Asilimia kubwa ya matunda yanayotoka Lushoto huuzwa katika Soko Kuu la Kariakoo lililopo Jijini Dar Es Salaam.