Sunday, February 9, 2014

PATA SAMAKI WABICHI KATIKA MADUKA YA SAMAKI NDANI YA SOKO KUU LA KARIAKOO

Wateja wakinunua samaki wabichi katika duka mojawapo la samaki lililopo ndani ya soko Kuu la Kariakoo Jijini Dar es Salaam, Tanzania. Samaki wanaouzwa hapa ni kingfish kutoka katika Bahari ya Hindi. Hapa unaweza kununua samaki hawa kwa vipande ama  kwa kilo. Kipande kimoja cha samaki kinauzwa shilingi 1,000/= tu! Karibuni wateja wetu wote mjipatie samaki bora kutoka soko Kuu la Kariakoo Jijini Dar es Salaam.

Mteja akinunua samaki mapema leo asubuhi