Monday, October 21, 2013

PEMBEJEO ZA KILIMO ZINAPATIKANA SOKONI KARIAKOO




Wakati serikali ikiweka jitihada nyingi katika kuinua uchumi nchini (KILIMO KWANZA), kuwa na uhakika wa chakula cha kutosha, wafanya biashara pia hawako nyuma, wengi wao hapa nchini wamekuwa wakiuza pembejeo za kilimo cha kisasa kama inavyoonekana katika picha. Mfanya biashara () aliyepo ndani ya soko Kuu la Kariakoo (KMC) akionesha mfuko wa dawa “Ivory M 72 wp” inayosaidia kuondoa ukungu,fangasi  katika mimea mbalimbali kama mua, mboga za majani nk.
Miongoni mwa bidhaa zinazopatika ni pamoja na mbegu za Arizeti, mbegu za maboga, mahindi, figiri mchina na nyinginezo nyingi.
Pichani ni miongoni mwa mbegu za kisasa za mazao mbalimbali zinazopatikana dukani  “ZAWADI AGROVET” lilopo ndani ya soko kuu la Kariakoo-Dar es salaam.
Simu :0764 534005 au 0716 931940.