Thursday, October 17, 2013

Maonesho

Afisa Biashara Muandamizi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Bi.Daynes Sooi (katikati) akizungumza na wawakilishi wa Kikundi cha MUDA Afrika sambamba na wawakilishi wa UN hivi karibuni. MUDA Afrika walihitaji kupewa nafasi watakayo fanyia shughuli zao za maonesho kwa muda wa siku mbili katika eneo la Soko Kuu la Kariakoo.
_______________________________________________________________________

Pichani Afisa Biashara Muandamizi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Bi.Daynes Sooi akiendelea na mazunguzo na wawakilishi wa MUDA Afrika.
_____________________________________________________________________