Thursday, September 26, 2013

SAMAKI: NGURU, SANGARA, TAA WANAPATIKANA SOKONI KARIAKOO, NJOO UNUNUE KWA BEI NAFUU





Pichani ni samaki aina ya Nguru wanaopatikana katika meza ya biashara ya Jamary Bakari Sokoni Kariakoo jijini Dar es Salaam, Nguru wanaoonekana pichani wamevuliwa katika bahari ya Hindi.Samaki hawa wanauzwa kwa Shilingi 25000 kwa kila mmoja kwa bei ya leo.

Hawa ni Sangara ambao wanavuliwa ziwani Victoria (Mwanza) pia wanauzwa Sokoni Kariakoo

Hawa ni Samaki aina ya taa ambao wanavuliwa katika bahari ya Hindi,pia wanapatikana hapa sokoni Kariakoo kwa wingi.


Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Wauza Dagaa na Samaki Wakavu (UWADASA) Bw. Mahafudh Magoma akiwa katika biashara yake ya kuuza samaki katika Soko la Kariakoo (Shimoni)

No comments:

Post a Comment