Thursday, February 19, 2015

Miongoni mwa Watumishi wa Shirika la Masoko

 Kama ilivyo kawaida katika Taasisi mbalimbali za Serikali kuwa na Watumishi wa kada tofautitofauti, katika picha hapo juu ni Bwana Rogers Kuyonga kutoka Kitengo cha Matunzo na Roman Winfred kutoka Kitengo cha Usalama,wote ni waajiriwa katika Shirika la Masoko Kariakoo.
Katika picha hapo juu  kutoka kushoto ni Bwana Charles Sombe mwenye suruali nyeupe kutoka Idara ya Utumishi,Ncheye Kulwa aliyeshika Notebook yeye yuko katika Kitengo cha ndani cha Ukaguzi na Bi.Jackline kutoka katika Idara ya Fedha