Thursday, December 4, 2014

Watumishi KMC

 Katika picha hapo juu ni Meneja Utumishi na Uendeshaji  Bwana Godwin Mrosso akiwa pamoja na  Mkuu  wa Kitengo cha Usalama Bwana Josam Mnzava.  Wote ni Watumishi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo.
Katika picha hapo juu ni Mkaguzi Mkuu wa Shirika Bwana Paul Kiwera  akiwa anabadilishana mawazo na Mwanasheria wa Shirika Bibi.Gloria Kalabamu muda mfupi kabla ya kikao cha Bodi.kikao hicho kilifanyika katika Ukumbi wa mikutano wa  Shirika la Masoko ya Kariakoo.