Monday, January 20, 2014

MATUKIO KATIKA PICHA

Pichani hapo juu ni watumishi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Jijini Dar es Salaam, aliyesimama ni Mkuu wa Idara ya Usafi wa Shirika (Primitiva Kamugisha) na aliyekaa kulia kwake ni Afisa biashara wa Shirika la Masoko Kariakoo (Bi. Soi) wakizungumza na mmoja wa wafanyabiashara wa sokoni Kariakoo (haonekani pichani) hivi karibuni katika ofisi ya Afisa biashara wa Shirika.

PATA BAMIA, NYANYA CHUNGU NA HOHO HAPA KARIAKOO SOKONI.