Friday, November 1, 2013

MATUKIO KATIKA PICHA LEO SOKONI KARIAKOO

VITAMBULISHO VYA WAFANYABIASHARA


 Afisa biashara wa Shirika la Masoko Kariakoo Bi.Mwinga Luhoyo (kushoto) akihakiki kitambulisho cha mfanya biashara Bw. Amiri  wa Soko Kuu la Kariakoo eneo la Shimoni.


 Maafisa biashara wa Soko Kuu la Kariakoo Bi.Mwinga (kushoto) akiwa na Zefania Maiko (kulia)  wakipitia kwa makini faili la usajiri a wafanyabiasha wa sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam mapema leo asubuhi.


ZEFANIA MBISE:Mfanyabiashara  Mashuhuri wa mayai.



 Mfanya biashara ambaye amekuwa akifanya biashara zake kati ya Dar es Salaam na Arusha Bwana Zefania pichani hapo juu akiwa eneo la Soko Kuu la Kariakoo ambaye shughuli yake ni kuleta mayai ya kuku wa kienyeji kutoka Mkoani Arusha nakuwauzia wateja wake wa Jijini Dar es Salaam.

 Ili kutambua yai zima na bovu, yale yanayonekana kuwa na rangi nyekundu kwa ndani ndio mazima tofauti na hiyo rangi sio zima.