Wednesday, November 6, 2013

EMMA MACHEREHANI: Wauzaji wa Cherehani Sokoni Kariakoo

 Pichani hapo juu ni duk la Emma Macherehani lililopo ndani ya soko Kuu la Kariakoo, hawa ni wauzaji wa kubwa wa Cherehani aina zote kama vile Buterfly, Zou 43, Usha, Juki, mashine za Sweta Overlock size zote. Mashine za ngozi, Mikasi ya umeme na kawaida, Mashine za kudalizi kama Taking, Aksa,nyuzi aina zote pamoja na spea mbalimbali za cherehani.

 Hii ni sehemu ambayo mteja anaingia na kuchagua cherehani anayoitaka mwenyewe, kama zinavyoonekana pichani hapo juu, zipo aina nyingi za cherehani kwa bei za kuridhisha kabisa. Karibuni wote Kariakoo sokoni katika duka linaloitwa Emma Macherehani mjipatie cherehani bora na imara.

Pichani hapo juu ni Clara Kaaya ambaye ni Mkurugenzi  wa Emma Macherehani sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam- Tanzania akiwa ofisini kwake mapema leo asubuhi.



Cherehani ya kisasa ya kushonea nguo, cherehani hii inatumia umeme, jipatie cherehani hii dukani kwa Emma Macherehani;wapo ghorofa ya kwanza ndani ya soko kuu Kariakoo Jijini DSM


 Pichani ni (Overlock machine) hii ni cherehani ya kudalizi, bei yake ni nafuu sana, jipatie kwa Tsh 1,500,000=/ ni mashine imara na  inayoweza kurahisisha shughuli zako za kudalizi nguo mbalimbali na kwa ufanisi zaidi.








 Hii ni mashine ya kuprinti tisheti, ni mashine inayotumia memory card au USB Cable, kwa wale wenye shughuli za kuprint basi mshine hii inawafaa sana. Karibuni Emma Macherehani.waliopo Kariakoo hapa Jijini DSM

Huu ni uzi kwa ajili ya kushonea nguo za aina mbalimbali, pia uzi huu unapatikana kwa Emma Macherehani sokoni Kariakoo

Pichani hapo juu ni Mota za cherehani na spea mbalimbali, pia zinapatikana sokoni Kariakoo jijini Dar es Salaam-Tanzania
Emma Macherehani unaweza kuwapata kwa mawasiliano yafuatayo.
+255 755363157
+255 717 830 813
Email: emmanuelikaonya@yahoo.com