Tuesday, January 6, 2015

Mwaka 2015 Sokoni Kariakoo

 Katika picha ni samaki wakavu ambao wanafikishwa katika Soko Kuu la Kariakoo kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania, kama vile mkoani Morogoro,Kilimanjaro na Iringa.Samaki hawa hupatikana kwa bei ya jumula na rejareja,tafadhali karibu ujipatie samaki hawa katika Soko Kuu eneo la Shimoni.
Mboga aina ya Kabichi kutoka Iringa,Mbeya,Tanga na kwingineko hufikishwa katika Soko Kuu la Kariakoo zikiwa zingali fresh kabisa kama inavyoonekana katika picha hapo juu.