Friday, January 31, 2014

PATA VITUNGUU SWAUM, KAROTI, HOHO KWA BEI POA KABISA SOKONI KARIAKOO


 mfanyabiashara wa Soko Kuu la Kariakoo Jijini Dar es Salam Bwana Athumani Bungulumo akiwa katika meza yake ya biashara ya viungo vya chakula kama anavyoonekana hapo hapo juu pichani. bidhaa hizi unaweza kununua kwa bei kati ya shilingi 100/= na 200/=
Au unaweza kuweka oda ya bidhaa hizi kwa Mr. Athumani kwa mawasiliano yafuatayo.
0787 758222

Pata vitungu hapa kwa Daniel Maivaji Sokoni Kariakoo eneo la maarufu kama Shimoni. Je unahitaji bidhaa hizi? unaweza kununua Vitunguu swaumu kwa shilingi 6000/= kwa kilo pia Shilingi 4000/= tu kwa kilo moja ya tangawizio.
karibuni sana, 0755 231241 nipigie tufanye biashara. 

 Pata vitungu hapa kwa Munguatosha Sokoni Kariakoo eneo la maarufu kama Shimoni. Je unahitaji bidhaa hizi? unaweza kununua hoho kwa shilingi 1,000/= hadi 1,500/= kwa kilo moja
0752 884793 nipigie tufanye biashara
Hoho safi kutoka Kariakoo Soko Kuu Jijini Dar es Salaam- Tanzania