Thursday, February 6, 2014

ROMANA R. LUKANGA, MTUMISHI MPYA WA IDARA YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU LA KARIAKOO

Pichani hapo juu ni watumishi wakiendelea na kazi katika ofisi za Shirika la masoko Kariakoo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Romana R. Lukanga ambae ni Mtumishi mpya katika idara ya biashara ndani ya Shirika la Masoko Kariakoo, kulia ni Henry R. Mutungi ambae mtakwimu wa Shirika la Masoko Kariakoo.