Thursday, August 21, 2014

Usalama katika Soko Kuu la Kariakoo umezidi kuimarishwa

Katika Soko Kuu la Kariakoo lililopo Jijini Dar Es Salaam usalama kwa Wafanyabiashara na Wateja mbalimbali wanaofika kujipatia mahitaji mbalimbali umezidi kuimarishwa kwa kiasi kikubwa sana. Katika picha hapo juu ni Geti lakutokea soko la jumla lililopo sehemu ya Shimoni; askari akiwa getini kabisa hapo akifanya ukaguzi kwa kila anayepita kuingia au kutoka ndani ya soko.
Tunamkukaribisha kila mmoja  Sokoni Kariakoo.