Monday, September 30, 2013

KARIAKOO SOKONI LEO


 Jipatie karoti zinazopatikana sokoni Kariakoo katika meza ya biashara ya Mr. Mtui, kama zinavyoonekana hapo pichani. Karoti zinazopatikana kwa Mr. Mtui zinatoka Lushoto Mkoani Tanga. Karoti hizi zinauzwa kwa kilo kati ya shiling 1500/=  na 2000/= unaweza kupata bidhaa hizi mara ufikapo sokoni kariakoo kwa mawasiliano yafuatayo. 0713 767038 au mtuimunguatosha@gmail.com

 Pichani ni Karoti, Tangawizi na Vitunguu swaumu vinavyopatikana katika meza ya biashara ya Nasoro Atanasi iliyopo  Kariakoo  sehemu ya chini maarufu kama "Shimoni" anapatikana kwa mawasiliano yafuatayo 0716 272720

 Njegele safi zinapatika kwa Mr. Sultan Ahamed Kindwanga kwa bei nafu sana. 
1kg Shilingi 1500/= bei hii ni kwa njegele ambazo hazijamenywa.
1kg Shilingi 3000/= bei hii ni kwa njegele zilizo menywa.
kama zinavyooneka katika picjha hapo chini.

Njegele zilizomenywa tayari kwa kupikwa, Shilingi 3000/= kwa kilo.
Simu 0713 506445 au 0782 506545

SAMAKI (Kingfish)

Mfanyabiahara wa Soko kuu la kariakoo (Ramadhani Mlekwa ) akiwa katika sehemu yake ya biashara, akiuza samaki wabichi kama wanavyoonekana hapo katika picha. Samaki hawa wanauzwa Shilingi 15000 kwa kilo moja.


Samaki (Kingfish)