Monday, December 30, 2013

MAANDALIZI YA SIKU KUU YA MWAKA MPYA 2014


Pichani hapo juu ni baadhi ya wafanyabiashara wa soko la wazi la Kariakoo, wakiwa na wateja wao mapema leo asubuhi. Soko la wazi Kariakoo unaweza kupata mahitaji yako mbalimbali kama inavyoonekana pichani hapo juu.


Jipatie nyanya kwa Shilingi 5,000=/ tu sokoni Kariakoo Jijini Dar es salaam Tanzania, bidhaa hizi zinatoka sehemu mbalimbali nchini Tanzania kama vile Morogoro, Mwanza, Iringa, Tanga na maeneo mengine nchini.

Nyanya zikiwa kwenye sado ya lita4 zikiuzwa kwa shilingi 5,000
Viazi vinauzwa kwa shilingi 7,000=/ tu!



Thursday, December 26, 2013

WATU WAFURIKA SOKONI KARIAKOO KUFUATA BIDHAA

Magari yakiwa yameegeshwa katika eneo la soko Kuu la Kariakoo Jijini Dar es Salaam. 


 Pichani hapo juu ni baadhi ya wateja waliofika sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam wakipata huduma kutoka kwa wafanyabiashara wa sokoni hapa, mahala hapa palikuwa panauzwa nguo kwa bei ya chini sana.

Maegesho ya magari katika eneo la soko Kuu la Kariakoo likiwa limefurika magari ya watu mbalimbali waliokuja Kariakoo kujipatia huduma kama inavyoonekana pichani hapo juu.

Sunday, December 22, 2013

BIDHAA SAFI NA BORA ZINAPATIKANA SOKONI KARIAKOO JIJINI DAR ES SALAAM

Wafanyabiashara wa Soko la Wazi Sokoni Kariakoo, wakiwa na wateja wao mapema leo asubuhi katka soko Kuu la Kariakoo Jijini Dar es Salaam.

Katika msimu huu wa siku kuu karibuni sokoni Kariakoo wateja wetu wote ili muweze kujipatia bidhaa bora sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam.

BIASHARA KATIKA MSIMU WA SIKU KUU ZA NOEL NA MWAKA MPYA.


Mfanyabiashara wa sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam akiandaa miti maalumu kwa ajili ya siku kuu ya Christ Mass.


Badhi ya bidhaa za Msimu wa Siku Kuu, kama zinavyoonekana pichani hapo juu katika Soko la Kariakoo Jijini Dar es Salaam- Tanzania.
  

Friday, December 6, 2013

BORESHA BUSTANI YAKO SASA KWA KUTUMIA ZANA BORA ZA KILIMO!

Torori
Pichani hapo juu ni torori maalum kwa shughuli za mikono, kama vile kuhamisha mizigo midogo midogo kutoka sehem moja kwenda sehemu nyingine, kubebea mchanga, samadi kwa ajili ya bustani. unaweza kupata vifaa hivi Sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam kwa bei kati ya
Shilingi 50,000 hadi Shilingi 48,000/= kwa torori za rangi ya kijani.
Shilingi 650000 hadi Shilingi 60000/= kwa torori za rangi nyeusi kama zinavyoonekana hapo juu pichani.


Mipira ya Maji

Katika hatua za kuboresha bustani ama shamba kwa kilimo cha umwagiliaji, basi unaweza kutumia mipira bora na imara kama hii hapa pichani;hapa utapata mipira ya nchi 1 kwa shilingi 75,000/= kwa urefu wa mita 50.
 nusu nchi (1/2) kwa shilingi 50,000 kwa urefu wa mita 50.  Vyote hivyo vinapatikana dukani kwa Emma Macherehani waliopo Sokoni Kariakoo Jijini Dar es Salaam.

Emma Macherehani unaweza kuwapata kwa mawasiliano yafuatayo.
+255 755363157
+255 717 830 813
Email: emmanuelikaonya@yahoo.com

WAFANYA BIASHARA KUONDOA BIDHAA ZAO KATIKA ENEO LA BARABARA SOKONI KARIAKOO

Askari wa Shirika la Masoko ya Kariakoo, wakiwapa maelekezo ya kuondoa bidhaa zao walizopanga barabarani katika eneo la Shirika la Masoko mapema leo asubuhi.  

Tuesday, December 3, 2013

HOHO, KAROTI SAFI ZINAPATIKANA SOKONI KARIAKOO