Friday, February 28, 2014

Watumishi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo.


Pichani hapo juu ni Bwana Ncheye Kulwa akiwa ofisini kwake ,yeye ni Mkaguzi wa ndani.
Bwana Luchemo Chiimba kutoka katika Kitengo cha Ukaguzi wa ndani akiendelea na shughuli zake za kila siku.


Bwana Yustino Man kutoka katika Kitengo cha Ukaguzi wa ndani katika Shirika la Masoko akifanya kazi zake kama alivyokutwa mapema leo ofisini kwake.

Katika picha hapo juu ni bwana Charles Sombe akiwa ofisini kwake yeye ni Afisa Utumishi msaidizi.

Bwana Charles Simba akiwa makini kuziangalia nyaraka zilizomfika ofisini kwake leo asubuhi ili aweze kuzihifadhi yeye ni Record Management Officer (RMO) wa Shirika la Masoko