Monday, February 24, 2014

WAFANYA BIASHARA WAKIENDELEA NA SHUGHULI ZAO ZA KILA SIKU SHIMONI KARIAKOO

Pichani ni baadhi ya bidhaa zinazopatikana Shimoni Kariakoo. Ikionesha unaweza kupata viazi, vitunguu na bidhaa nyingine nyingi. Viazi vinavyoonekana pichani hapo juu vinauzwa shilingi 800 kwa kilo moja.
Mfanyabiashara maarufu wa Viazi akifurahuia namna Shirika la Masoko la Kariakoo linavyootumia Teknologia  katika kupanua wigo wa biashara ndani na nje ya Tanzania. Unaweza kumpata :Bwana Shomari Mkang'a mfanya biashara huyu kwa mawasiliano yafuatayo  Simu :0716 231524