Wednesday, March 26, 2014

Kariakoo Leo!

 Katika picha hapo juu ni moja ya Magari ya mizigo ambayo huleta  mazao mabalimbali katika Soko la Kariakoo. Hapo lipo ndani katika Soko la Jumla Shimoni, lilikutwa leo alfajiri likishusha Matunda aina ya Apples  toka Lushoto Tanga.
Matikiti haya yanauzwa kwa bei ya Jumula na rejareja Soko kuu la Kariakoo Jijini Dar Es Salaam.Kwa mahitaji  ya matunda kila aina fika Kariakoo Shimoni