Tuesday, August 26, 2014

ZUKIN na BLUKOLIN

Katika picha hapo juu sio matango; ila ni moja ya mboga aina ya ZUKIN na BLUKOLIN.Aina hzi za mbogamboga huzalishwa kwa wingi katika mikoa ifuatayo; Morogoro,Tanga  katika wilaya za  Lushoto,Korogwe  na  kule Arusha.Fika Sokoni Kariakoo eneo la Shimoni utazipata kwa wingi na bei yake ni nzuri. Karibuni sana!

No comments:

Post a Comment