Tuesday, August 26, 2014

Usafi katika Soko Kuu la Kariakoo-Dar Es Salaam

Katika picha hapo juu ni Mtumishi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Bwana Amiri Magala akiwa anaendelea na shughuli yake ya kusafisha moja ya mifereji ya maji taka iliyopo eneo la Shimoni. Uongozi wa Shirika huzingatia sanaa suala zima la Usafi katika maeneo yote ya Soko Kuu la Kariakoo ambalo ni maarufu sana kwa kupokea bidhaa mbalimbali za mazao kutoka mikoani.Kwa kuzingatia hilo mifereji hii ya maji taka  hukaguliwa mara kwa mara kila siku ili kuhakikisha maji taka yanatoka na kuingia katika mfumo mkuu wa Jiji wa maji taka.

No comments:

Post a Comment